Unataka kuingiza Pesa nyingi kwa haraka? Jaribu hii...

Biashara Mpya, Rahisi Na Yenye Faida Kubwa Sana Ambayo Watanzania Wengi Hawaijui...


Mpendwa msomaji,

Mwaka 2021, niligundua biashara moja ya ajabu sana ambayo inaleta Faida kubwa, lakini watu wengi Tanzania hawajui kuhusu hiyo biashara.


Nilikuwa nasoma kwenye mtandao wa Facebook na nikagundua kuwa kuna mwanamke alikuwa anaweka tangazo kila siku kwenye Facebook kwa gharama ya Tsh. 10,000/= kwa siku. 


Nilihesabu na kuona kuwa alitangaza mara 29 mwezi huo. 


Hii ni sawa na Tsh. 290,000/= kwa mwezi (10,000 x 29).


Kwa mtu kutumia pesa nyingi hivyo kwenye matangazo, ina maana hiyo biashara yake inalipa vizuri. 


Kama isingekuwa inalipa, asingekuwa anarudia kutangaza mara kwa mara.


Biashara aliyokuwa anafanya ni kuuza vifaa vya kukaza tumbo vinavyoitwa Waist Trimmers.


Lakini usidanganyike, bidhaa hiyo siyo biashara yenyewe — kuna kitu cha muhimu zaidi.


Alikuwa ananunua waist trimmers kutoka nje ya nchi kwa dola 2 (sawa na Tsh. 5,300/=) na kuziuza kwa Tsh. 75,000/= kila moja. 


Baada ya kutoa gharama za usafirishaji na nyinginezo, alikuwa anapata faida ya karibu Tsh. 40,000/= kwa kila moja.


Kama anauza waist trimmers 10 kila siku baada ya kutangaza, alikuwa anapata Faida ya Tsh. 400,000/= kwa siku!


Ni ajabu, sivyo?

Biashara hii inaitwa- Smart E-commerce na inaweza kuwa na Faida kubwa.


Nilitaka kujua zaidi, hivyo nikajifunza vizuri kuhusu mfumo huo mpya wa biashara.


Bidhaa ya kwanza niliyoagiza ilikuwa ni ya Afya ya Uzazi Kwa Wanaume.


Niliagiza pisi 90 kwa jumla ya Tsh. 479,880/= (Pamoja na Usafirishaji). 


Kila kimoja kilinigharimu kama Tsh. 5,332/=

Angalia vizuri hapa chini.

Hapa nilikuwa tayari nimepokea mzigo wa bidhaa yangu niliyoagiza mwenyewe kutoka China.

Nilitangaza bidhaa hizo kwenye mtandao wa Facebook & Instagram na nikauza bidhaa zote ndani ya mwezi mmoja kwa bei ya Tsh. 75,000/= kila kimoja. 


Baada ya kutoa gharama zote (kama gharama za bidhaa, usafiri, matangazo, na vifungashio), nilibakiwa na Faida ya Tsh. 3,375,000/=

 

Milioni Tatu Laki Tatu Na Sabini Na Tano Elfu. 


Kwa mradi ulioanza na Tsh. 479,880 tu, hiyo ni Faida kubwa sana ndani ya mwezi mmoja.


Haya hapa matokeo ya mauzo yake...